Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

Sound


Interface


Difficulty level


Accent



interface language

en

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Cookie policy   |   Support   |   FAQ
Lyrkit press

Hello! I'm Lyrkit!

I tried many ways to memorize English words and found the most effective one for me!

We already have all the words of the songs that we have heard throughout our lives in our memory. We simply did not pay attention to them, but we all already hear them!

I noticed that when you learn a new word from a song that you have already heard before, you already know the translation of this word forever and you will never forget it!

I want to share this method with you. So, the scheme is as follows.

We find songs that we have already heard.

We add all unfamiliar words from them.

We pass mini tests of memory games. done

Now that you know a lot of words, you will very quickly come to know the whole language!

I bet you'll be surprised how effective this method is!)

next

skip
1
register / login
Lyrkit

donate

5$

Lyrkit

donate

10$

Lyrkit

donate

20$

Lyrkit

Or rate me in Windows Store:


And/Or support me in social. networks:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Diamond Platnumz

Mawazo

 

Mawazo


Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo

Ah sikujua mapenzi balaa, tena ni maradhi ya moyo kupendaga
Tena mapenzi karaha, yanajenga chuki na choyo kwenye cover

Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Uhuni jaa burudani mtaani, akaamua kutimua
Inaniuma sana

Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (mhh mawazo)
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo (mmh kikwazo)
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (nipunguze mawazo)
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo (nna mawazo)

Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo

Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo

Yule jini kisirani kaingia, kwenye utamu wa penzi langu
Ameleta tafarani naumia, nalia na moyo wangu
Ona jini kisirani kaingia, kwenye utamu wa penzi langu
Ameleta tafarani... mwenzenu nalia na moyo wangu!

Kuwa mimi wivu ninao na roho yangu ninaumia
Kweli wapendanao ndo maadui zikitimia
Lile tinga langu la maraha, leo limekuwa sumu kwangu
Ona tena sina raha, ninacheka nnalia na moyo wangu

Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (uhh mawazo)
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo (oh kikwazo)
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (mawazo)
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo

Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo

Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo

Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua

done

Did you add all the unfamiliar words from this song?