Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

音效


界面


难度等级


口音



界面语言

zh

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Cookie 政策   |   技术支援   |   FAQ
Lyrkit 打钩

你好! 我是Lirkit !

我尝试了很多方法来记忆英语单词,最后找到了对我来说最有效的一种!

我们一生中听过的所有歌曲的歌词都已记在我们的记忆中。我们根本没有注意到他们,但我们都已经听到了!

我注意到,当你从一首以前听过的歌曲中学习一个新单词时,你已经永远知道这个单词的翻译,并且永远不会忘记它!

我想把这个方法分享给大家。所以,方案如下。

我们找到我们已经听过的歌曲。

我们添加了其中所有不熟悉的单词。

我们通过了记忆游戏的迷你测试。完毕

现在您已经认识了很多单词,您很快就会了解整个语言!

我打赌你会惊讶于这种方法的有效性!)

下一步

跳过
1
注册/登录
Lyrkit

5$

Lyrkit

10$

Lyrkit

20$

Lyrkit

或者评价我 Windows Store:


和/或在社交方面支持我。网络:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Diamond Platnumz

Toka Mwanzo

 

Toka Mwanzo


Yeah, yeah, yeah, yeah (ah ah)
Bae, bae, bae, babe
Yeah, yeah, yeah, yeah (ah ah, ah...)
Bae, bae, bae, babe
Ma, ma, ma, ma (ah ah ah)
Bae, bae, bae, babe (ah...)

Mama kwanza nilipokwona na
Ulisema ati just a friend now
Wala kwanza huna mpango naye
Alitaka tu mka spend a ride
Na na na ukamkatalia
Ukamkimbia
Baki anaumia na
Eti kuanalia
Tena kwa hisia
(Ati kisa kuwa na we)
Maneno mengi kunidanganya
Nikiwa sipo kumbe mnafanya
Nimeshow love tena kwa sana
Nitakosea nikikuita player
Sitokosea nikikuita player mbona we
(Come on, come on, come on, come on)

Sasa si wala we ungesema toka mwanzo
Kama sipo hata kwenye yako mawazo
Kisa nini ya mapenzi alizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia...
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye ambazo zimekuvutia wewe
Zimekuvutia
Ati bora ningesema toka mwanzo
Kama upo hata kwenye yako mawazo
Kisa nilie mapendo nilizo nazo
Hizo ambazo zimenivutia
Hizo ambazo zimenivutia...
Zimenivutia
Hizo ambazo zimenivutia mimi...
Zimenivutia...

Usinizuge kwa makiss kibao
Ati "Diamond, nakupenda sana"
Nikiwa sipo unanipiga bao
Kwa mamisemo kwa
Utadharau namba hii uchechema
Sasa vipi?
Vipi?
Vipi?
Sasa sa vipi?
Vipi?
Vipi?
Wewe
Hamna noma nitaride nao
Bora mtakoma bonge la mshangao
Aya
Wewe sawa
Wewe
Maneno kibao 'cause unipenda, alright
Na naomba mshangao zaidi ya kima, alright
Unasema hutaki niona na, ye ye
He's just a friend baby, naomba nielewe
Ni wangapi nimeponda nao
Wala kwanza sina mpango nao
Ukiniona nao unasema maboy
Sasa nitakuwa na wangapi
Wangapi mimi?

Sasa si wala we ungesema toka mwanzo
Kama sipo hata kwenye yako mawazo
Kisa nini ya mapenzi alizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia...
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye ambazo zimekuvutia wewe
Zimekuvutia
Ati bora ningesema toka mwanzo
Kama upo hata kwenye yako mawazo
Kisa nilie mapendo nilizo nazo
Hizo ambazo zimenivutia
Hizo ambazo zimenivutia...
Zimenivutia
Hizo ambazo zimenivutia mimi...
Zimenivutia...

Baby girl
Najua unanipenda
But sometime, kwanini unenitenda
Unaniumiza roho
Sifauti ya hao
Na chill
Na feel
Nahisi sina deal
Na kama unakuja njoo tena for real, ma
Nakuja natoka nakuacha nacheka
Ukiniona unadeka na kumbe nikiondoka unateta
Come on
Baby
I'll never let you go, go
Like crazy
Nabaki sema no, no

Diamond
Like crazy
Nabaki sema no...
Nabaki sema no
Oh oh
Oh, ah...
Crazy...

完毕

你已经把这首歌里所有不熟悉的词添加了吗?