Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

소리


상호 작용


난이도


악센트



인터페이스 언어

ko

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
쿠키 정책   |   지원하다   |   FAQ
Lyrkit 수탉

안녕하세요! 저는 리킷이에요!

영어 단어를 암기하기 위해 여러 가지 방법을 시도했고 나에게 가장 효과적인 방법을 찾았습니다!

우리는 이미 평생 동안 들어왔던 노래의 가사를 모두 기억 속에 갖고 있습니다. 우리는 그 말에 주의를 기울이지 않았지만 우리 모두는 이미 그 말을 듣고 있습니다!

나는 이전에 이미 들었던 노래에서 새로운 단어를 배울 때 이미 이 단어의 번역을 영원히 알고 있으며 결코 잊지 못할 것이라는 점을 깨달았습니다!

이 방법을 여러분과 공유하고 싶습니다. 따라서 계획은 다음과 같습니다.

우리는 이미 들어본 노래를 찾습니다.

익숙하지 않은 단어를 모두 추가합니다.

우리는 메모리 게임의 미니 테스트를 통과했습니다. 완료

이제 많은 단어를 알았으니, 전체 언어를 아주 빨리 알게 될 것입니다!

이 방법이 얼마나 효과적인지 놀라게 되실 겁니다!)

더 나아가

건너뛰다
1
등록/로그인
Lyrkit

기부하다

5$

Lyrkit

기부하다

10$

Lyrkit

기부하다

20$

Lyrkit

아니면 나를 평가해줘 Windows Store:


그리고/또는 나를 사회적으로 지지해 주세요. 네트워크:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Diamond Platnumz

Binadam

 

Binadam


Eyoh…
Yoh I'm back Bob Junior, I'm back
Acha vita ianze
Wamechelewa

Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya (mbaya)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
Wote niishi nao sawa

Nilipouanza mziki, mbali na dhiki
Nimekutana na matatizo sana
Sikuwa rafiki, sithaminiki
Bado kidogo mie tu nikate tamaa
Wangu moyo, ulivumilia dharau na masimango mi
Mi wangu moyo, ulivumilia utumwa na manyanyaso di
Yaani nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Moyoni najipa moyo kesho ntakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia
Ile nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Najipa moyo kesho ntakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia

Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya (mbaya)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
Wote niishi nao sawa

Kidogo nakula na mama yangu
Siwezi kuwasahau na ndugu zangu
Upendo popote alipo kwa baba yangu
Japo alinikataa
Aa bata nakulaga mi na rafiki zangu
Tunacheza Reggae na masikini wenzangu
Alazwe pepa peponi na bibi yangu
Mjukuu wake Sanana
Sababu ya ugumu wa maisha
Na maumivu ya mapenzi nikaandika "Kamwambie"
Ndo hapo hustle zikaisha, kabariki Mwenyezi watanzinia wanizimie
Asa hivi kwenye tamasha tu likitajwa jina watu wanashangilia
Wengine furaha inazidi kina hadi kabisa wanalia
Asa hivi kwenye tamasha yaani ikitajwa jina watu wanashangilia
Wengine furaha inazidi kina hadi kabisa wanalia

Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya (mbaya)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
Wote niishi nao sawa

Eii tena wabaya sana
Ouu wanakatisha tamaa
Eii uh wabaya
Tena wabaya
Ouu aah
Sana, wabaya sana
Wabaya sana
Mmh wabaya sana

완료

이 노래에 생소한 단어를 모두 추가하셨나요?