Your native language

عربي

Arabic

عربي

简体中文

Chinese

简体中文

Nederlands

Dutch

Nederlands

Français

French

Français

Deutsch

German

Deutsch

Italiano

Italian

Italiano

日本語

Japanese

日本語

한국인

Korean

한국인

Polski

Polish

Polski

Português

Portuguese

Português

Română

Romanian

Română

Русский

Russian

Русский

Español

Spanish

Español

Türk

Turkish

Türk

Українська

Ukrainian

Українська
User Avatar

Ses


Arayüz


Zorluk seviyesi


Aksan



arayüz dili

tr

Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Çerez politikası   |   Destek   |   FAQ
Lyrkit horoz

Merhaba! Ben Lirkit'im!

İngilizce kelimeleri ezberlemenin birçok yolunu denedim ve benim için en etkili olanı buldum!

Hayatımız boyunca duyduğumuz şarkıların tüm sözleri zaten hafızamızda mevcuttur. Onlara dikkat etmedik ama hepimiz onları zaten duyuyoruz!

Daha önce dinlediğiniz bir şarkıdan yeni bir kelime öğrendiğinizde, bu kelimenin çevirisini zaten sonsuza kadar bildiğinizi ve asla unutmayacağınızı fark ettim!

Bu yöntemi sizlerle paylaşmak istiyorum. Yani şema aşağıdaki gibidir.

Daha önce duyduğumuz şarkıları buluyoruz.

Onlardan bilmediğimiz tüm kelimeleri ekliyoruz.

Hafıza oyunlarının mini testlerini geçiyoruz. Tamamlandı

Artık pek çok kelime bildiğinize göre, çok hızlı bir şekilde tüm dili öğreneceksiniz!

Eminim bu yöntemin ne kadar etkili olduğuna şaşıracaksınız!)

daha öte

atlamak
1
Kayıt Giriş
Lyrkit

bağış yapmak

5$

Lyrkit

bağış yapmak

10$

Lyrkit

bağış yapmak

20$

Lyrkit

Veya bana puan verin Windows Store:


Ve/veya beni sosyal medyada destekleyin. ağlar:


Lyrkit YouTube Lyrkit Instagram Lyrkit Facebook
Diamond Platnumz

Binadam

 

Binadam


Eyoh…
Yoh I'm back Bob Junior, I'm back
Acha vita ianze
Wamechelewa

Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya (mbaya)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
Wote niishi nao sawa

Nilipouanza mziki, mbali na dhiki
Nimekutana na matatizo sana
Sikuwa rafiki, sithaminiki
Bado kidogo mie tu nikate tamaa
Wangu moyo, ulivumilia dharau na masimango mi
Mi wangu moyo, ulivumilia utumwa na manyanyaso di
Yaani nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Moyoni najipa moyo kesho ntakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia
Ile nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Najipa moyo kesho ntakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia

Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya (mbaya)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
Wote niishi nao sawa

Kidogo nakula na mama yangu
Siwezi kuwasahau na ndugu zangu
Upendo popote alipo kwa baba yangu
Japo alinikataa
Aa bata nakulaga mi na rafiki zangu
Tunacheza Reggae na masikini wenzangu
Alazwe pepa peponi na bibi yangu
Mjukuu wake Sanana
Sababu ya ugumu wa maisha
Na maumivu ya mapenzi nikaandika "Kamwambie"
Ndo hapo hustle zikaisha, kabariki Mwenyezi watanzinia wanizimie
Asa hivi kwenye tamasha tu likitajwa jina watu wanashangilia
Wengine furaha inazidi kina hadi kabisa wanalia
Asa hivi kwenye tamasha yaani ikitajwa jina watu wanashangilia
Wengine furaha inazidi kina hadi kabisa wanalia

Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya (wabaya)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya (mbaya)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola, naomba nilinde niwe na upendo wa dhati
Wote niishi nao sawa

Eii tena wabaya sana
Ouu wanakatisha tamaa
Eii uh wabaya
Tena wabaya
Ouu aah
Sana, wabaya sana
Wabaya sana
Mmh wabaya sana

Tamamlandı

Bu şarkıdaki tüm yabancı kelimeleri eklediniz mi?